COSTECH Integrated Repository

Matatizo ya Kutumia Kiingereza Kufundishia Katika Shule za Sekondari na Vyuo vya Juu Tanzania

Show simple item record

dc.creator Qorro, Martha
dc.date 2019-10-04T15:18:52Z
dc.date 2019-10-04T15:18:52Z
dc.date 2005
dc.date.accessioned 2021-05-03T13:06:34Z
dc.date.available 2021-05-03T13:06:34Z
dc.identifier Qorro, M. 2005. Matatizo ya Kutumia Kiingereza Kufundishia Katika Shule za Sekondari na Vyuo vya Juu Tanzania. Kioo cha Lugha, Juzuu la 3, 22 -30.
dc.identifier http://hdl.handle.net/20.500.11810/5316
dc.identifier.uri http://hdl.handle.net/20.500.11810/5316
dc.description Makala hii inaeleza matatizo yanayotokana na kutumia Kiingereza kufundishia katika shule za sekondari na vyuo nchini Tanzania. Makala inaanza kwa kufafanua tofauti zilizopo kati ya kufundisha lugha kama somo kwa lengo la kupanua mawanda ya mawasiliano; na ktumia lugha kama nyenzo ya kutolea maarifa. Makala imebainisha matatizo ya kijamii, kiutamaduni, kiuchumi, kielimu na kiakili yanayotokana na kutumia Kiingereza kama lugha ya kufundishia. Katika kubainisha matatizo hayo; makala imetumea vielelezo mbalimbali kutoka kwa walengwa wa viwango tofauti vya elimu; kuanzia kidato cha kwanza hadi chuo kikuu. Makala inahitimisha kwa kupendekeza kuwa ni vema kutumia lugha inayoeleweka; lugha ya jamii pana, Kiswahili, ili wanafunzi waweze kupata maarifa na ujuzi; sambamba na hilo, kufundisha Kiingereza kwa ufasaha zaidi kama lugha (bila kujitegemeza kuwa lugha ya kufundishia) – kama inavyofundishwa Kifaransa au Kichina.
dc.language en
dc.publisher Kioo cha Lugha
dc.relation ;Juzuu la 3
dc.title Matatizo ya Kutumia Kiingereza Kufundishia Katika Shule za Sekondari na Vyuo vya Juu Tanzania
dc.type Journal Article, Peer Reviewed


Files in this item

Files Size Format View

There are no files associated with this item.

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record

Search COSTECH


Advanced Search

Browse

My Account