COSTECH Integrated Repository

Mafunzo Kwa Wanavijiji Kuhusu Sheria Zinazohusu Usimamiaji Wa Maliasili Kwa Jamii

Show simple item record

dc.creator Majamba, Hamudi
dc.creator Macha, Theo
dc.creator Mshana, Ebenezer
dc.date 2021-05-05T14:23:47Z
dc.date 2021-05-05T14:23:47Z
dc.date 2001-07
dc.date.accessioned 2021-05-07T11:57:53Z
dc.date.available 2021-05-07T11:57:53Z
dc.identifier http://hdl.handle.net/20.500.11810/5745
dc.identifier.uri http://hdl.handle.net/20.500.11810/5745
dc.description Katika kuitekeleza sera ya serikali kuhusu utunzaji maliasili kwa kuwashirikisha wananchi kuweza kutunza maliasili zilizopo kwenye maeneo yao, Timu ya Wanasheria wa Mazingira (LEAT) waliingia mkataba na Mradi wa Usimamizi wa Mazingira Rufiji (MUMARU) ili kutengeneza, kutoa na kuandika kozi ya mafunzo kuhusu sheria za utunzaji maliasili zinazoendana na vijiji katika vijiji vilivyochaguliwa katika wilaya ya Rufiji, Mkoa wa Pwani. LEAT na MUMARU waliingia mkataba ulioanza tarehe 30 April 2001 hadi 15 Juni 2001. Lengo na madhumuni ya mafunzo haya kimsingi ni kuongeza ufahamu wa wanavijiji na uelewa wa sheria za utunzaji maliasili kwa ujumla lakini hasa kwenye zile sheria zinazohusu maliasili zinazopatikana katika maeneo yao. Kozi pia iliandaliwa katika hali ya kuweza kuhakikisha kwamba wanavijiji wananaweza kutengeneza sheria ndogondogo kufuatana na utaratibu uliowekwa kisheria ili kutunza vizuri maliasili zao.
dc.relation Technical Report No. 21;Report
dc.subject Natural Resources Management Law at Local Community Level
dc.title Mafunzo Kwa Wanavijiji Kuhusu Sheria Zinazohusu Usimamiaji Wa Maliasili Kwa Jamii
dc.type Technical Report


Files in this item

Files Size Format View

There are no files associated with this item.

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record

Search COSTECH


Advanced Search

Browse

My Account