COSTECH Integrated Repository

Nafasi ya utani wa sokoni na dikoni kwa jamii ya Wazanzibari

Show simple item record

dc.creator Othman, Salama Omar
dc.date 2019-08-21T06:41:12Z
dc.date 2019-08-21T06:41:12Z
dc.date 2015
dc.date.accessioned 2022-10-20T13:54:35Z
dc.date.available 2022-10-20T13:54:35Z
dc.identifier Othman, S. O. (2015). Nafasi ya utani wa sokoni na dikoni kwa jamii ya Wazanzibari. Dodoma: Chuo Kikuu cha Dodoma
dc.identifier http://hdl.handle.net/20.500.12661/1031
dc.identifier.uri http://hdl.handle.net/20.500.12661/1031
dc.description Tasnifu (Shahada ya Uzamili katika Fasihi ya Kiswahili)
dc.description Utafiti huu uliangalia nafasi ya utani wa sokoni na dikoni kwa jamii ya Wazanzibari. Utafiti uliongozwa na malengo matatu ambayo yalisaidia kubainisha nafasi ya utani wa sokoni na dikoni kwa jamii ya Wazanzibari. Tafiti zinazohusu utani nyingi zamezungumzia juu ya utani wa makabila na kwenye matukio ya sherehe na misiba na kutoa nafasi kwa mtafiti kuuchunguza utani katika muktadha huu. Utafiti ulifanyika uwandani na maktabani, na kutumia mbinu ya usaili, udodosaji, na ushuhudiaji katika kukusanya data. Maeneo yaliyotumika katika ukusanyaji wa data ni soko la Mwanakwerekwe na diko la Maruhubi katika mkoa wa Mjini Magharibi Unguja. Data zilichambuliwa kwa kuongozwa na nadharia ya utambulisho wa kijamii ambayo misingi yake mikuu ni utambulisho wa kijamii, ulinganishi katika jamii pamoja na matabaka na mgawanyiko katika jamii. Matokeo ya utafiti huu yanaonesha kuwa utani wa sokoni na dikoni una nafasi kubwa kwa jamii kwa jamii ya Wazanzibari. Utani huzuka kutokana na sababu tofauti za kijamii, kiuchumi na kiutamaduni. Na hujengeka zaidi kwa maneno yenye ubeuzi dhihaka na utwezaji; na mara chache hutambwa kimatendo. Aidha, utani umekuwa ni chachu ya kuleta maelewano na udugu kwa watumiaji wa soko na diko na kupeleka mbele gurudumu la maisha yao. Zaidi, utafiti umegundua kuwa jadi hii bado wanajamii wanaikubali na ipo haja ya kuiendeleza kwani utani kwa wao ni kitambulisho cha utamaduni wao. Nadharia ya Utambulisho wa Jamii iliyotumika ilisaidia kufafanua jinsi utani unavyowatambulisha watu kwa hadhi zao, kazi zao na kutofautiana baina yao katika muktadha wa sokoni na dikoni.
dc.language Kisw
dc.publisher Chuo Kikuu cha Dodoma
dc.subject Utani
dc.subject Sokoni
dc.subject Utani wa sokoni
dc.subject Dikoni
dc.subject Utani wa dikoni
dc.subject Wazanzibari
dc.title Nafasi ya utani wa sokoni na dikoni kwa jamii ya Wazanzibari
dc.type Dissertation


Files in this item

Files Size Format View
SALAMA OMAR OTHMAN.pdf 1.147Mb application/pdf View/Open

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record

Search COSTECH


Advanced Search

Browse

My Account