COSTECH Integrated Repository

Matumizi ya tamathali za semi katika nyimbo za misiba kwa jamii ya Wahehe

Show simple item record

dc.creator Yangi, Emmanuel
dc.date 2019-08-20T06:26:57Z
dc.date 2019-08-20T06:26:57Z
dc.date 2015
dc.date.accessioned 2022-10-20T13:54:34Z
dc.date.available 2022-10-20T13:54:34Z
dc.identifier Yangi, E., (2015).Matumizi ya tamathali za semi katika nyimbo za misiba kwa jamii ya Wahehe. Dodoma: Chuo Kikuu cha Dodoma
dc.identifier http://hdl.handle.net/20.500.12661/973
dc.identifier.uri http://hdl.handle.net/20.500.12661/973
dc.description Tasnifu (Shahada ya Uzamili katika Fasihi ya Kiswahili)
dc.description Utafiti huu ulichunguza Matumizi ya Tamathali za Semi Katika Nyimbo za Misiba ya Wahehe. Watafitiwa walikuwa ni Wahehe waishio katika wilaya ya Iringa vijiji vya Tanangozi, Kalenga, Kipera, Mangalali na Nyabula. Jumla ya watafitiwa walikuwa thelathini (30). Njia zilizotumika kukusanyia data ni mahojiano, majadiliano, ushuhudiaji na kurekodi sauti. Data zilikusanywa na kuchambuliwa ili kubainisha ni kwa kiasi gani nyimbo za misiba ya Wahehe zinatumia tamathali za semi, tumeainisha aina za tamathali za semi zinazotumika kwa wingi katika nyimbo za misiba ya Wahehe na tumebainisha dhima ya matumizi ya tamathali za semi katika kuwasilisha maudhui katika nyimbo za misiba ya Wahehe. Data kutoka maktabani zilipatikana kwa kupitia maandiko mbalimbali kufahamu nini wengine wamefanya kuhusu nyimbo za Wahehe. Uchambuzi wa data ulifanyika kwa njia ya ufafanuzi na data tulizozipata ziliwasilishwa kwa njia ya maelezo. Aidha vielelezo vilitumika. Utafiti huu ulimakinikiwa na kuongozwa na mkabala wa Umbuji unaohakiki kazi ya fasihi kwa kuangalia kipengele cha fani na si vipengele vingine.
dc.language Kisw
dc.publisher Chuo Kikuu cha Dodoma
dc.subject Tamathali za semi
dc.subject Nyimbo
dc.subject Nyimbo za misiba
dc.subject Wahehe
dc.subject Tanangozi
dc.subject Kalenga
dc.subject Kipera
dc.subject Mangalali
dc.subject Nyabula
dc.title Matumizi ya tamathali za semi katika nyimbo za misiba kwa jamii ya Wahehe
dc.type Dissertation


Files in this item

Files Size Format View
EMMANUEL YANGI.pdf 1.246Mb application/pdf View/Open

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record

Search COSTECH


Advanced Search

Browse

My Account