Fasihi ya Kiswahili na rushwa Tanzania: Thomas A. R. Kamugisha na Kitu Kidogo Tu

No Thumbnail Available

Date

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Idara ya Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Abstract

Description

Full text can be accessed at the following link http://www.ajol.info/index.php/kcl/article/view/61311
Makala hii inajaribu kuelezea mchango wa fasihi ya Kiswahili katika kuijadili rushwa. Kwa kurejea kwenye Riwaya ya Thomas A.R. Kamugisha Kitu Kidogo tu! makala hii inasawilisha miongo takribani mitatu ya dhana ya “kitu kidogo” na athari zake kwa jamii ya Tanzania. Kwa kuijadili riwaya ya Kitu Kidogo tu! makala hii inajaribu pia kutoa picha ya Tanzania ya leo na kesho.

Keywords

Citation