Fasihi ya Kiswahili na rushwa Tanzania: Thomas A. R. Kamugisha na Kitu Kidogo Tu
No Thumbnail Available
Date
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Idara ya Kiswahili, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Abstract
Description
Full text can be accessed at the following link http://www.ajol.info/index.php/kcl/article/view/61311
Makala hii inajaribu kuelezea mchango wa fasihi ya Kiswahili katika kuijadili rushwa. Kwa kurejea kwenye Riwaya ya Thomas A.R. Kamugisha Kitu Kidogo tu! makala hii inasawilisha miongo takribani mitatu ya dhana ya “kitu kidogo” na athari zake kwa jamii ya Tanzania. Kwa kuijadili riwaya ya Kitu Kidogo tu! makala hii inajaribu pia kutoa picha ya Tanzania ya leo na kesho.
Makala hii inajaribu kuelezea mchango wa fasihi ya Kiswahili katika kuijadili rushwa. Kwa kurejea kwenye Riwaya ya Thomas A.R. Kamugisha Kitu Kidogo tu! makala hii inasawilisha miongo takribani mitatu ya dhana ya “kitu kidogo” na athari zake kwa jamii ya Tanzania. Kwa kuijadili riwaya ya Kitu Kidogo tu! makala hii inajaribu pia kutoa picha ya Tanzania ya leo na kesho.